Kapola newz is a blogg that gives you news, events, games and entertainment for more instructions contact kapola newz by phone, 0764033168 Email peterkapola@gmail.com
Kazi yangu ni kukusogezea kila
kinachotokea kuanzia Michezo, Siasa, habari za mastaa na Breaking News
zote ambapo time hii kutoka IKULU Dar es salaam kuna hii ya Rais John Pombe Magufuli ametengua utauzi.
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Prof. Justin Ntalikwa kuanzia leo tarehe March 26 2017 ambapo nafasi hiyo itajazwa baadae.
“Unaweza kumchukia mtu lakini usiichukie Tanzania” – Rais Magufuli, BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUMTAZAMA
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment